Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Na itakuwa kwamba kama nilivyokuwa macho kuwaelekea wao+ ili kung’oa na kubomoa na kuangusha na kuharibu na kudhuru,+ ndivyo nitakavyokuwa macho kuwaelekea ili kujenga na kupanda,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 32:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 ‘Kwa maana jiji hili, tangu siku walipolijenga, mpaka leo hii, limekuwa tu kisababishi cha hasira ndani yangu+ na kisababishi cha ghadhabu ndani yangu, ili kuliondoa mbele za uso wangu,+

  • Malaki 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema.

      Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki