28 “Na itakuwa kwamba kama nilivyokuwa macho kuwaelekea wao+ ili kung’oa na kubomoa na kuangusha na kuharibu na kudhuru,+ ndivyo nitakavyokuwa macho kuwaelekea ili kujenga na kupanda,”+ asema Yehova.
31 ‘Kwa maana jiji hili, tangu siku walipolijenga, mpaka leo hii, limekuwa tu kisababishi cha hasira ndani yangu+ na kisababishi cha ghadhabu ndani yangu, ili kuliondoa mbele za uso wangu,+