Yeremia 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati wowote nikisema juu ya taifa na juu ya ufalme ili kuung’oa na kuubomoa na kuuharibu,+ Yeremia 45:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Wewe mwambie hivi, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama! Kile ambacho nimekijenga ninakibomoa, na kile ambacho nimekipanda ninaking’oa, ndiyo, nchi yote.+
4 “Wewe mwambie hivi, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama! Kile ambacho nimekijenga ninakibomoa, na kile ambacho nimekipanda ninaking’oa, ndiyo, nchi yote.+