5 Na sasa, tafadhali, acheni niwajulishe ninyi kitu nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Ukigo wake utaondolewa,+ nalo halitakosa kuteketezwa kwa moto.+ Ukuta wake wa mawe utabomolewa, nalo halitakosa kuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga.+
28 “Na itakuwa kwamba kama nilivyokuwa macho kuwaelekea wao+ ili kung’oa na kubomoa na kuangusha na kuharibu na kudhuru,+ ndivyo nitakavyokuwa macho kuwaelekea ili kujenga na kupanda,”+ asema Yehova.