Zaburi 102:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hakika Yehova atajenga Sayuni;+Lazima ataonekana katika utukufu wake.+ Zaburi 147:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova anajenga Yerusalemu;+Huwakusanya pamoja waliotawanywa wa Israeli.+ Yeremia 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitaweka jicho langu juu yao kwa njia nzuri,+ na hakika mimi nitawarudisha katika nchi hii.+ Nami nitawajenga, wala sitawabomoa; nami nitawapanda, wala sitawang’oa.+ Yeremia 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nami nitafurahi juu yao ili niwatendee mema,+ nami nitawapanda katika nchi hii+ katika ukweli kwa moyo wangu wote na kwa nafsi yangu yote.’”
6 Nami nitaweka jicho langu juu yao kwa njia nzuri,+ na hakika mimi nitawarudisha katika nchi hii.+ Nami nitawajenga, wala sitawabomoa; nami nitawapanda, wala sitawang’oa.+
41 Nami nitafurahi juu yao ili niwatendee mema,+ nami nitawapanda katika nchi hii+ katika ukweli kwa moyo wangu wote na kwa nafsi yangu yote.’”