Yeremia 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tazama, nimekupa utume leo ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme,+ ili kung’oa na kubomoa na kuangamiza na kuangusha,+ ili kujenga na kupanda.”+ Yeremia 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+ nami nitazihurumia maskani zake. Na kwa kweli jiji litajengwa upya juu ya kilima chake;+ na mnara wa makao utaketi juu ya mahali pake panapoufaa.+ Yeremia 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nami nitafurahi juu yao ili niwatendee mema,+ nami nitawapanda katika nchi hii+ katika ukweli kwa moyo wangu wote na kwa nafsi yangu yote.’” Yeremia 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama pale mwanzoni.+
10 Tazama, nimekupa utume leo ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme,+ ili kung’oa na kubomoa na kuangamiza na kuangusha,+ ili kujenga na kupanda.”+
18 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+ nami nitazihurumia maskani zake. Na kwa kweli jiji litajengwa upya juu ya kilima chake;+ na mnara wa makao utaketi juu ya mahali pake panapoufaa.+
41 Nami nitafurahi juu yao ili niwatendee mema,+ nami nitawapanda katika nchi hii+ katika ukweli kwa moyo wangu wote na kwa nafsi yangu yote.’”