26 Nami nitawarudisha tena waamuzi kwa ajili yako kama hapo kwanza, na washauri kwa ajili yako kama pale mwanzoni.+ Kisha wewe utaitwa Jiji la Uadilifu, Mji Mwaminifu.+
6 Nami nitaweka jicho langu juu yao kwa njia nzuri,+ na hakika mimi nitawarudisha katika nchi hii.+ Nami nitawajenga, wala sitawabomoa; nami nitawapanda, wala sitawang’oa.+
6 Nami nitaifanya nyumba ya Yuda iwe kuu, nami nitaiokoa nyumba ya Yosefu.+ Nami nitawapa makao, kwa maana nitawaonyesha rehema;+ nao watakuwa kama watu ambao sikutupilia mbali;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao, nami nitawajibu.+