26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+
6 Nami nitaweka jicho langu juu yao kwa njia nzuri,+ na hakika mimi nitawarudisha katika nchi hii.+ Nami nitawajenga, wala sitawabomoa; nami nitawapanda, wala sitawang’oa.+