Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Yehova hatakosa kukuongoza+ sikuzote+ na kuishibisha nafsi yako hata katika nchi yenye kukauka,+ naye ataitia nguvu mifupa yako;+ nawe utakuwa kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+ na kama chemchemi ya maji, ambayo maji yake hayaishi.

  • Isaya 61:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kuwapa wale wanaoomboleza kwa ajili ya Sayuni, kuwapa vazi la kichwani badala ya majivu,+ mafuta ya furaha+ badala ya maombolezo, nguo ya kujitanda ya sifa badala ya roho iliyovunjika;+ nao wataitwa miti mikubwa ya uadilifu,+ bustani ya Yehova,+ ili yeye arembeshwe.+

  • Yeremia 24:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nitaweka jicho langu juu yao kwa njia nzuri,+ na hakika mimi nitawarudisha katika nchi hii.+ Nami nitawajenga, wala sitawabomoa; nami nitawapanda, wala sitawang’oa.+

  • Yeremia 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao hakika watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+ na kung’aa kwa sababu ya wema wa Yehova,+ kwa sababu ya nafaka na kwa sababu ya divai+ mpya na kwa sababu ya mafuta na kwa sababu ya watoto wa kundi na ng’ombe.+ Na nafsi yao itakuwa tu kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+ nao hawatakuwa dhaifu tena.”+

  • Amosi 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “ ‘Nami nitawapanda juu ya nchi yao, wala hawatang’olewa tena kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ Yehova Mungu wako amesema.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki