Zaburi 33:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ili kuikomboa nafsi yao na kifo,+Na kuwahifadhi hai wakati wa njaa.+ Zaburi 37:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hawataona aibu wakati wa msiba,+Na katika siku za njaa watashiba.+ Isaya 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye ndiye atakayekaa juu katika vilele;+ kilele chake kilicho salama kitakuwa mahali penye miamba ambapo ni pagumu kufikiwa.+ Hakika atapewa mkate wake;+ chemchemi yake ya maji haitaisha.”+ Hosea 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mimi mwenyewe nilikujua wewe nyikani,+ katika nchi yenye homa nyingi.+
16 Yeye ndiye atakayekaa juu katika vilele;+ kilele chake kilicho salama kitakuwa mahali penye miamba ambapo ni pagumu kufikiwa.+ Hakika atapewa mkate wake;+ chemchemi yake ya maji haitaisha.”+