Zaburi 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+ Methali 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa habari yake mtu anayenisikiliza, yeye atakaa salama+ wala hatasumbuliwa na hofu ya msiba.”+
15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+