Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na kusema: “Mimi, naam, mimi nimemweka mfalme wangu+

      Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”+

  • Zaburi 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa sauti yangu nitamwita Yehova,

      Naye atanijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.+ Sela.

  • Zaburi 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+

      Na ni nani anayeweza kusimama katika mahali pake patakatifu?+

  • Isaya 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na vikundi vingi vya watu hakika vitaenda na kusema: “Njooni,+ twendeni juu kwenye mlima wa Yehova, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo; naye atatufundisha njia zake, nasi tutatembea katika mapito yake.”+ Kwa maana sheria itatoka katika Sayuni, na neno la Yehova katika Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki