Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo watu hawakuweza kutofautisha kati ya sauti ya watu ya kushangilia+ na ile ya kulia, kwa maana watu walikuwa wakipaaza sauti kubwa, na sauti hiyo ikasikiwa hata mbali sana.

  • Zaburi 126:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 126 Yehova alipowakusanya tena mateka wa Sayuni,+

      Tulikuwa kama wale waliokuwa wanaota ndoto.+

  • Isaya 51:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo watu wa Yehova waliokombolewa watarudi na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe,+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watapata furaha na shangwe.+ Huzuni na kuugua hakika zitakimbia kabisa.+

  • Ezekieli 20:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “ ‘Kwa maana katika mlima wangu mtakatifu, katika mlima wa kilele cha Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘huko ndiko wao, nyumba yote ya Israeli ikiwa nzima, itanitumikia, katika nchi ile.+ Nitafurahishwa nao huko, na huko nitaitaka michango yenu na matunda ya kwanza ya matoleo yenu katika vitu vyenu vyote vilivyo vitakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki