Malaki 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na toleo la zawadi la Yuda na la Yerusalemu litakuwa lenye kumpendeza Yehova,+ kama katika siku za zamani na kama katika miaka ya kale.+ Waroma 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
4 Na toleo la zawadi la Yuda na la Yerusalemu litakuwa lenye kumpendeza Yehova,+ kama katika siku za zamani na kama katika miaka ya kale.+
12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+