Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Zaburi 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+

      Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+

      Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+

  • Yeremia 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana, “tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitawakusanya mateka wa watu wangu, Israeli na Yuda,”+ Yehova amesema, “nami nitawarudisha katika nchi niliyowapa mababu zao, nao hakika wataimiliki tena.”’”+

  • Yeremia 32:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “‘Watu watanunua mashamba kwa pesa, na maandishi yatatiwa katika hati+ na muhuri kutiwa na mashahidi+ kuchukuliwa, katika nchi ya Benyamini,+ na katika maeneo yanayozunguka Yerusalemu,+ na katika majiji ya Yuda,+ na katika majiji ya eneo lenye milima, na katika majiji ya nchi tambarare ya chini,+ na katika majiji ya kusini,+ kwa sababu nitawarudisha mateka wao,’+ asema Yehova.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki