Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Katika Shefela+ kulikuwa na Eshtaoli+ na Sora+ na Ashna,

  • Yeremia 17:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na hakika watu watakuja kutoka katika majiji ya Yuda na kutoka pande zote kuzunguka Yerusalemu na kutoka katika nchi ya Benyamini+ na kutoka katika nchi tambarare ya chini+ na kutoka katika eneo lenye milima+ na kutoka katika Negebu,+ wakileta toleo zima la kuteketezwa+ na dhabihu+ na toleo la nafaka+ na ubani+ na kuleta dhabihu ya shukrani ndani ya nyumba ya Yehova.+

  • Yeremia 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Katika majiji ya eneo lenye milima, katika majiji ya nchi ya chini,+ na katika majiji ya kusini,+ na katika nchi ya Benyamini,+ na katika mazingira ya Yerusalemu,+ na katika majiji ya Yuda,+ bado makundi yatapita chini ya mikono ya mtu anayehesabu,’+ Yehova amesema.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki