Ezra 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi wakaisimamisha madhabahu imara mahali pake,+ kwa maana woga uliwashika kwa sababu ya vikundi vya watu wa nchi,+ nao wakaanza kutoa juu yake dhabihu za kuteketezwa kwa Yehova, dhabihu za kuteketezwa za asubuhi na za jioni.+
3 Basi wakaisimamisha madhabahu imara mahali pake,+ kwa maana woga uliwashika kwa sababu ya vikundi vya watu wa nchi,+ nao wakaanza kutoa juu yake dhabihu za kuteketezwa kwa Yehova, dhabihu za kuteketezwa za asubuhi na za jioni.+