Ezra 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi wakajenga madhabahu mahali ilipokuwa zamani, ingawa waliwaogopa watu wa nchi jirani,+ nao wakaanza kumtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa juu yake, asubuhi na jioni.+
3 Basi wakajenga madhabahu mahali ilipokuwa zamani, ingawa waliwaogopa watu wa nchi jirani,+ nao wakaanza kumtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa juu yake, asubuhi na jioni.+