Zekaria 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, haiwapasi kutii maneno+ ambayo Yehova alisema kupitia manabii wa kale,+ wakati Yerusalemu lilipokuwa na watu, likistarehe, pamoja na majiji yake yenye kulizunguka pande zote, na watu walipokuwa wakikaa Negebu+ na Shefela?’ ”+
7 Je, haiwapasi kutii maneno+ ambayo Yehova alisema kupitia manabii wa kale,+ wakati Yerusalemu lilipokuwa na watu, likistarehe, pamoja na majiji yake yenye kulizunguka pande zote, na watu walipokuwa wakikaa Negebu+ na Shefela?’ ”+