15 Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake,+ akatuma tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake+ na makao yake.+
25 tangu siku ile mababu zenu walipotoka katika nchi ya Misri mpaka leo hii;+ nami niliendelea kuwatumia ninyi watumishi wangu wote manabii, nikiamka mapema kila siku na kuwatuma.+
4 Nami niliendelea kuwatuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nikiamka mapema na kuwatuma,+ nikisema: “Tafadhali, msifanye chukizo la aina hii ambalo nimelichukia.”+