Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+

      Naye anayedumisha njia iliyowekwa,

      Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+

  • Zaburi 107:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na watoe dhabihu za kutoa shukrani+

      Na kutangaza kazi zake kwa vigelegele vya shangwe.+

  • Zaburi 116:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nitakutolea wewe dhabihu ya kutoa shukrani,+

      Nami nitaliitia jina la Yehova.+

  • Yeremia 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi, sauti ya wale wanaosema: “Msifuni Yehova wa majeshi, kwa maana Yehova ni mwema;+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo!”’+

      “‘Watakuwa wakileta toleo la shukrani katika nyumba ya Yehova,+ kwa maana nitawarudisha mateka wa nchi kama pale mwanzoni,’+ Yehova amesema.”

  • Waebrania 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki