Zaburi 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninyi mnaomwogopa Yehova, msifuni!+Enyi nyote mlio uzao wa Yakobo, mtukuzeni!+Na mwogopeni yeye, enyi nyote mlio uzao wa Israeli.+ Zaburi 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na sasa kichwa changu kitakuwa juu, juu ya adui zangu wanaonizunguka pande zote;+Nami nitatoa kwenye hema lake dhabihu za vigelegele vya shangwe;+Nitamwimbia Yehova na kumpigia muziki.+ Waroma 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+ Waefeso 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo mkimtolea shukrani+ sikuzote Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote. 1 Wathesalonike 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuhusiana na kila jambo toeni shukrani.+ Kwa maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu katika muungano na Kristo Yesu kwa habari yenu. Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
23 Ninyi mnaomwogopa Yehova, msifuni!+Enyi nyote mlio uzao wa Yakobo, mtukuzeni!+Na mwogopeni yeye, enyi nyote mlio uzao wa Israeli.+
6 Na sasa kichwa changu kitakuwa juu, juu ya adui zangu wanaonizunguka pande zote;+Nami nitatoa kwenye hema lake dhabihu za vigelegele vya shangwe;+Nitamwimbia Yehova na kumpigia muziki.+
12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+
20 katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo mkimtolea shukrani+ sikuzote Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote.
18 Kuhusiana na kila jambo toeni shukrani.+ Kwa maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu katika muungano na Kristo Yesu kwa habari yenu.
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+