Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ninyi mnaomwogopa Yehova, msifuni!+

      Enyi nyote mlio uzao wa Yakobo, mtukuzeni!+

      Na mwogopeni yeye, enyi nyote mlio uzao wa Israeli.+

  • Zaburi 27:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na sasa kichwa changu kitakuwa juu, juu ya adui zangu wanaonizunguka pande zote;+

      Nami nitatoa kwenye hema lake dhabihu za vigelegele vya shangwe;+

      Nitamwimbia Yehova na kumpigia muziki.+

  • Waroma 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+

  • Waefeso 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo mkimtolea shukrani+ sikuzote Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote.

  • 1 Wathesalonike 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kuhusiana na kila jambo toeni shukrani.+ Kwa maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu katika muungano na Kristo Yesu kwa habari yenu.

  • Waebrania 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki