Zaburi 107:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na watoe dhabihu za kutoa shukrani+Na kutangaza kazi zake kwa vigelegele vya shangwe.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+