Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa anaitoa ili kuonyesha shukrani,+ basi ataitoa pamoja na dhabihu ya shukrani ya keki za mviringo zisizo na chachu ambazo zimetiwa mafuta na mikate myembamba isiyo na chachu iliyopakwa mafuta+ na unga laini uliochanganywa vizuri ukiwa keki za mviringo zilizotiwa mafuta.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mwishowe Hezekia akajibu na kusema: “Sasa mmeujaza+ mkono wenu nguvu kwa ajili ya Yehova. Karibieni, mlete dhabihu+ na dhabihu za shukrani+ katika nyumba ya Yehova.” Nalo kutaniko likaanza kuleta dhabihu na dhabihu za shukrani, na pia kila mtu aliyekuwa na moyo wa kupenda, akaleta matoleo ya kuteketezwa.+

  • Zaburi 107:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na watoe dhabihu za kutoa shukrani+

      Na kutangaza kazi zake kwa vigelegele vya shangwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki