29 Naye Musa akasema: “Ujazeni mkono wenu leo nguvu kwa ajili ya Yehova,+ kwa sababu kila mmoja wenu yuko dhidi ya mwana wake mwenyewe na ndugu+ yake mwenyewe, na kwamba apate kuweka baraka juu yenu leo.”+
33 Nanyi msitoke nje ya mwingilio wa hema la mkutano kwa siku saba,+ mpaka siku ya kutimia kwa siku za kuwekwa kwenu rasmi, kwa sababu itachukua siku saba kuujaza mkono wenu nguvu.+
32 “Naye kuhani atakayetiwa mafuta+ na ambaye mkono wake utajazwa nguvu ili kutenda akiwa kuhani,+ atakayemfuata+ baba yake, atafanya upatanisho naye atavaa yale mavazi ya kitani.+ Hayo ni mavazi matakatifu.+