Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Na ikiwa mtatoa dhabihu ya shukrani kwa Yehova,+ mtaitoa ili kupata kibali kwa ajili yenu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mwishowe Hezekia akajibu na kusema: “Sasa mmeujaza+ mkono wenu nguvu kwa ajili ya Yehova. Karibieni, mlete dhabihu+ na dhabihu za shukrani+ katika nyumba ya Yehova.” Nalo kutaniko likaanza kuleta dhabihu na dhabihu za shukrani, na pia kila mtu aliyekuwa na moyo wa kupenda, akaleta matoleo ya kuteketezwa.+

  • Nehemia 12:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Nao wakatoa dhabihu kubwa+ siku hiyo na kushangilia,+ kwa maana Mungu wa kweli alikuwa amewafanya washangilie kwa shangwe+ kubwa. Na pia wanawake+ na watoto+ wakashangilia, hata kushangilia kwa Yerusalemu kukasikika mbali sana.+

  • Zaburi 50:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Toa shukrani zikiwa dhabihu yako kwa Mungu,+

      Na umtimizie Aliye Juu Zaidi nadhiri zako;+

  • 2 Wakorintho 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Katika kila kitu mnatajirishwa kwa ajili ya kila namna ya ukarimu, ambao hutokeza kupitia sisi wonyesho wa shukrani kwa Mungu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki