3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
38 mbali na sabato za Yehova+ na mbali na zawadi+ zenu na mbali na matoleo yenu ya nadhiri+ na mbali na matoleo yenu ya hiari,+ ambayo mtamtolea Yehova.