11 Ninyi pia mnaweza kushiriki kusaidia kwa dua yenu kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani+ kwa ajili yetu kwa lile ambalo tumepewa kwa fadhili kutokana na sala za watu wengi.+
15 Kwa maana mambo yote ni kwa ajili yenu,+ ili fadhili zisizostahiliwa zilizozidishwa ziwe nyingi kwa sababu ya kutoa shukrani kwa wengi zaidi kwa utukufu wa Mungu.+