Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Mshukuruni Yehova;+ liitieni jina lake,+

      Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu!+

  • 2 Mambo ya Nyakati 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na ikawa kwamba mara tu wapiga-tarumbeta na waimbaji walipokuwa kama mtu mmoja+ kwa kutokeza sauti moja isikike katika kumsifu na kumshukuru Yehova, na mara tu walipopaaza sauti kwa tarumbeta na kwa matoazi na kwa vyombo vya nyimbo+ na kwa kumsifu+ Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo+ ni za mpaka wakati usio na kipimo,” nyumba ile ikajaa wingu,+ nyumba ya Yehova,+

  • Ezra 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakaanza kuitikia kwa kumsifu+ na kumtolea Yehova shukrani, “kwa kuwa yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo kwa Israeli ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+ Nao watu wote wakapaaza sauti+ kubwa kwa kumsifu Yehova juu ya kuwekwa kwa msingi wa nyumba ya Yehova.

  • Zaburi 89:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana nimesema: “Fadhili zenye upendo zitakaa zikiwa zimejengwa mpaka wakati usio na kipimo;+

      Kwa habari ya mbingu, wewe unaendeleza uaminifu wako imara ndani yake.”+

  • Isaya 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki