41 na pamoja nao Hemani+ na Yeduthuni na wale watu wengine wachaguliwa waliowekwa+ kwa majina ili wamshukuru Yehova,+ kwa sababu “fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo”;+
5 Nami nikasema: “Ah, Yehova Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kuwaelekea wale wanaompenda+ na kushika amri zake,+