1 Mambo ya Nyakati 16:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema,+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+ 2 Mambo ya Nyakati 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na katika siku ya 23 ya mwezi wa 7 akawaruhusu watu waende zao nyumbani kwao, wakiwa na shangwe+ na kuchangamka moyoni kutokana na wema+ ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi na Sulemani na Israeli watu wake.+
34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema,+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+
10 Na katika siku ya 23 ya mwezi wa 7 akawaruhusu watu waende zao nyumbani kwao, wakiwa na shangwe+ na kuchangamka moyoni kutokana na wema+ ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi na Sulemani na Israeli watu wake.+