2 Mambo ya Nyakati 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha siku ya 23 ya mwezi wa saba, aliwaruhusu watu waende nyumbani kwao wakishangilia+ na kufurahi moyoni kwa sababu ya wema ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi na Sulemani na watu wake Waisraeli.+
10 Kisha siku ya 23 ya mwezi wa saba, aliwaruhusu watu waende nyumbani kwao wakishangilia+ na kufurahi moyoni kwa sababu ya wema ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi na Sulemani na watu wake Waisraeli.+