13 “‘Katika majiji ya eneo lenye milima, katika majiji ya eneo la chini, katika majiji ya kusini, katika nchi ya Benjamini, katika maeneo yanayozunguka Yerusalemu+ na katika majiji ya Yuda,+ makundi yatapita tena chini ya mikono ya mtu anayeyahesabu,’ asema Yehova.”