Mambo ya Walawi 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Lakini ikiwa hamtanisikiliza ijapokuwa mambo yote hayo, ndipo nitawatia adabu mara saba zaidi kwa sababu ya dhambi zenu.+ Mambo ya Walawi 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+
18 “‘Lakini ikiwa hamtanisikiliza ijapokuwa mambo yote hayo, ndipo nitawatia adabu mara saba zaidi kwa sababu ya dhambi zenu.+
21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+