Mambo ya Walawi 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+ Zaburi 76:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+ Zaburi 79:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kuwalipa jirani zetu mara saba kifuani mwao+Shutuma yao ambayo wamekushutumu nayo, Ee Yehova.+
21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+
7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+