Zaburi 74:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ukumbuke hili: Adui ameshutumu, Ee Yehova,+Na kikundi cha watu wasio na akili kimelidharau jina lako.+ Waroma 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+
18 Ukumbuke hili: Adui ameshutumu, Ee Yehova,+Na kikundi cha watu wasio na akili kimelidharau jina lako.+
3 Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe;+ bali kama ilivyoandikwa: “Shutuma za wale waliokuwa wanakushutumu zimeniangukia.”+