2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba mimi niitii sauti yake na kuwaruhusu Israeli waende zao?+ Simjui Yehova hata kidogo+ na tena sitawaruhusu Israeli waende zao.”+
14 Kati ya miungu yote ya mataifa hayo ambayo mababu zangu waliangamiza ni nani aliyeweza kuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu, hivi kwamba Mungu wenu aweze kuwakomboa ninyi kutoka mkononi mwangu?+