Kutoka 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Farao hakika atasema kuhusu wana wa Israeli, ‘Wanatanga-tanga nchini kwa kuvurugika. Nyika imewazingira.’+ Kutoka 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+ Zaburi 71:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakisema: “Mungu mwenyewe amemwacha.+Mfuatilieni na kumkamata, kwa maana hakuna mkombozi.”+ Isaya 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+
3 Kisha Farao hakika atasema kuhusu wana wa Israeli, ‘Wanatanga-tanga nchini kwa kuvurugika. Nyika imewazingira.’+
9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+
8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+