2 Mambo ya Nyakati 32:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Je, ninyi hamjui yale ambayo mimi mwenyewe na mababu zangu tulivitendea vikundi vyote vya watu wa nchi?+ Je, miungu+ ya mataifa ya zile nchi iliweza kukomboa hata kidogo nchi yao kutoka mkononi mwangu? Zaburi 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ili mtu yeyote asiirarue nafsi yangu vipande-vipande kama simba anavyofanya,+Kuninyakua wakati ambapo hakuna mkombozi.+ Mathayo 27:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 “Aliwaokoa wengine; yeye mwenyewe hawezi kujiokoa! Yeye ni Mfalme+ wa Israeli; acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso nasi tutamwamini.+
13 Je, ninyi hamjui yale ambayo mimi mwenyewe na mababu zangu tulivitendea vikundi vyote vya watu wa nchi?+ Je, miungu+ ya mataifa ya zile nchi iliweza kukomboa hata kidogo nchi yao kutoka mkononi mwangu?
2 Ili mtu yeyote asiirarue nafsi yangu vipande-vipande kama simba anavyofanya,+Kuninyakua wakati ambapo hakuna mkombozi.+
42 “Aliwaokoa wengine; yeye mwenyewe hawezi kujiokoa! Yeye ni Mfalme+ wa Israeli; acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso nasi tutamwamini.+