Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, ninyi hamjui yale ambayo mimi mwenyewe na mababu zangu tulivitendea vikundi vyote vya watu wa nchi?+ Je, miungu+ ya mataifa ya zile nchi iliweza kukomboa hata kidogo nchi yao kutoka mkononi mwangu?

  • Zaburi 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ili mtu yeyote asiirarue nafsi yangu vipande-vipande kama simba anavyofanya,+

      Kuninyakua wakati ambapo hakuna mkombozi.+

  • Mathayo 27:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 “Aliwaokoa wengine; yeye mwenyewe hawezi kujiokoa! Yeye ni Mfalme+ wa Israeli; acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso nasi tutamwamini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki