Waamuzi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wala hapakuwa na mkombozi, kwa maana lilikuwa mbali sana na Sidoni,+ nao hawakuwa na shughuli yoyote kabisa na wanadamu; na ilikuwa katika nchi tambarare ya chini iliyokuwa ya Beth-rehobu.+ Kisha wakalijenga jiji na kuanza kukaa ndani yake.+ Zaburi 50:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+
28 Wala hapakuwa na mkombozi, kwa maana lilikuwa mbali sana na Sidoni,+ nao hawakuwa na shughuli yoyote kabisa na wanadamu; na ilikuwa katika nchi tambarare ya chini iliyokuwa ya Beth-rehobu.+ Kisha wakalijenga jiji na kuanza kukaa ndani yake.+
22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+