Waamuzi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hawakuwa na mtu wa kuwaokoa, kwa sababu waliishi mbali sana na Wasidoni katika bonde* la Beth-rehobu,+ nao hawakushughulika na watu wengine. Watu wa kabila la Dani wakalijenga upya jiji hilo na kuishi humo.
28 Hawakuwa na mtu wa kuwaokoa, kwa sababu waliishi mbali sana na Wasidoni katika bonde* la Beth-rehobu,+ nao hawakushughulika na watu wengine. Watu wa kabila la Dani wakalijenga upya jiji hilo na kuishi humo.