Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi+

  • Mwanzo 49:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Zabuloni atakaa kando ya bahari,+ naye atakuwa kando ya bahari ambapo meli hukaa zikiwa zimetia nanga;+ na sehemu yake ya mbali itakuwa kuelekea Sidoni.+

  • Yoshua 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo Yehova akawatia mkononi+ mwa Israeli, nao wakawapiga na kuwafuatilia mpaka Sidoni+ jiji lenye hesabu kubwa ya watu na Misrefoth-maimu+ na nchi tambarare ya bondeni ya Mispe+ upande wa mashariki; nao wakaendelea kuwapiga, hata asibaki yeyote kati yao mwenye kuokoka.+

  • Waamuzi 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na Wasidoni+ na Amaleki+ na Midiani,+ walipowakandamiza,+ nanyi mkanililia, nami nikawaokoa kutoka katika mkono wao?

  • Waamuzi 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi hao watu watano wakaendelea, wakaja Laishi,+ wakaona jinsi ambavyo watu waliokuwa humo walikaa kwa kujitegemea kulingana na desturi ya Wasidoni, watulivu na wasio na shaka,+ wala hapakuwa na mshindi mwenye kukandamiza aliyekuwa akileta usumbufu wowote katika nchi, nao walikuwa mbali sana na Wasidoni,+ wala hawakuwa na shughuli yoyote na wanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki