Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Tena Yehova akawapa pumziko+ kuwazunguka pande zote, kulingana na kila kitu ambacho alikuwa amewaapia+ mababu zao, wala hakuna mmoja kati ya adui zao wote aliyesimama mbele yao.+ Yehova aliwatia adui zao wote mkononi mwao.+

  • Yoshua 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtu mmoja tu kati yenu atafukuza elfu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye anayewapigania ninyi,+ kama vile ambavyo amewaahidi ninyi.+

  • Nehemia 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi wana wao+ wakaingia, wakaichukua nchi hiyo na kuimiliki,+ nawe ukatiisha+ mbele yao wakaaji wa nchi hiyo, Wakanaani,+ na kuwatia mikononi mwao, pamoja na wafalme+ wao na vikundi vya watu wa nchi,+ ili wawatendee kulingana na mapenzi yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki