10 Nanyi mtavuka Yordani+ na kukaa katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa iwe miliki,+ naye atawapa pumziko kutokana na adui zenu wanaowazunguka, nanyi hakika mtakaa kwa usalama.+
19 Na itatukia kwamba wakati ambapo Yehova Mungu wako atakuwa amekupumzisha kutokana na adui zako wanaokuzunguka pande zote katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi ili uimiliki,+ utafutilia mbali jina la Amaleki kutoka chini ya mbingu.+ Hupaswi kusahau.