6 wakaaji wote wa eneo lenye milima, kutoka Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu,+ Wasidoni+ wote; mimi mwenyewe nitawanyang’anya nchi na kuwafukuza mbele ya wana wa Israeli.+ Uwawezeshe wana wa Israeli kuirithi, kama vile ambavyo nimekuamuru.+
24 Akatoka huko, akaenda katika maeneo ya Tiro na Sidoni.+ Naye akaingia katika nyumba wala hakutaka mtu yeyote ajue. Na bado hakuweza kuepuka kutambuliwa;+