Mathayo 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+ Mathayo 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Yesu akatoka hapo, akaondoka na kuingia katika sehemu za Tiro na Sidoni,+
21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+