6 Neno hilo lilipomfikia mfalme wa Ninawi,+ ndipo akasimama kutoka kwenye kiti chake cha ufalme, akavua vazi lake rasmi na kujifunika nguo za magunia na kuketi katika majivu.+
13 “Ole wako, Korazini!+ Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu ambazo zimetendeka kwenu zingalikuwa zimetendeka katika Tiro na Sidoni, wangalikuwa wametubu zamani za kale wakiwa wameketi katika nguo za magunia na majivu.+