21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+
41 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki+ nao watakihukumu kuwa chenye hatia;+ kwa sababu wao walitubu juu ya lile alilohubiri Yona,+ lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Yona yuko hapa.