-
Waamuzi 18:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Basi wanaume hao watano wakaendelea na safari na kufika Laishi.+ Wakaona jinsi wakaaji wa huko walivyoishi kama Wasidoni bila kumtegemea yeyote. Walikuwa watu watulivu wasio na wasiwasi,+ na hakukuwa na mtawala yeyote aliyewakandamiza wala kuwasumbua. Waliishi mbali sana na Wasidoni, na hawakushughulika na watu wengine.
-