Yoshua 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Upande wa kusini, nchi yote ya Wakanaani; na Meara, ambayo ni ya Wasidoni,+ hadi Afeki, hadi mpaka wa Waamori; Yoshua 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na hadi Ebroni na Rehobu na Hamoni na Kana hadi kufika Sidoni+ jiji lenye watu wengi. Waamuzi 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakuu watano wa muungano+ wa Wafilisti,+ na Wakanaani+ wote, pia Wasidoni+ na Wahivi+ waliokaa katika Mlima Lebanoni+ kutoka Mlima Baal-hermoni+ mpaka maingilio ya Hamathi.+ Waamuzi 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na Wasidoni+ na Amaleki+ na Midiani,+ walipowakandamiza,+ nanyi mkanililia, nami nikawaokoa kutoka katika mkono wao?
4 Upande wa kusini, nchi yote ya Wakanaani; na Meara, ambayo ni ya Wasidoni,+ hadi Afeki, hadi mpaka wa Waamori;
3 Wakuu watano wa muungano+ wa Wafilisti,+ na Wakanaani+ wote, pia Wasidoni+ na Wahivi+ waliokaa katika Mlima Lebanoni+ kutoka Mlima Baal-hermoni+ mpaka maingilio ya Hamathi.+
12 na Wasidoni+ na Amaleki+ na Midiani,+ walipowakandamiza,+ nanyi mkanililia, nami nikawaokoa kutoka katika mkono wao?