7 Geukeni mfunge safari, mwende kwenye eneo lenye milima la Waamori+ na kwa jirani zao wote katika Araba,+ lile eneo lenye milima+ na Shefela na Negebu+ na pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani,+ na Lebanoni,+ mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati.+
6 wakaaji wote wa eneo lenye milima, kutoka Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu,+ Wasidoni+ wote; mimi mwenyewe nitawanyang’anya nchi na kuwafukuza mbele ya wana wa Israeli.+ Uwawezeshe wana wa Israeli kuirithi, kama vile ambavyo nimekuamuru.+